MATOKEO YA CECAFA KATI YA ETHIOPIA NA UGANDA NA MSKMAMO WA MAKUNDI YA CECAFA
Mashindano ya CEAFA yameendelea leo kwa mchezo mmoja kati ya Ethiopia V/S Uganda ambao umemalizika kwa sare ya 1-1 huku Uganda wakisawazisha katika dk za mwisho kabisa . Katika mchezo huo macezaji wa Uganda Timothy Awany akipewa kadi nyekundu katika dk za mwisho kabisa za mchezo . Kwa matokeo hayo Uganda imefuzu kuelekea katika hatua ya nusu Fainali ya michuano hiyo kutoka katika kundi B wakati huo Ethiopia ikiiombea Burundi ifungwe zaidi ya goli 4 hapo kesho na Sudani Kusini. Huu ndiyo msimamo wa makundi ya CECAFA mpka sasa.