MAALIM AVULIWA UKATIBU MKUU CUF.

         


  Baraza kuu la uongozi Taifa chama cha wananchi ( CUF ) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya ukaribu mkuu na kumpatia nafasi hiyo Magdalena Sakaya . 
       Taarifa ya hatua hiyo imetangazwa mapema leo na Prof.  Ibrahimu Lipumba . Habari kamili zitakuja kupitia hapa 

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .