MTIBWA YAIBANIA YANGA

     Mchezo kati ya Mtibwa na Yanga umemalizika Kwa timu hizo kutoshana nguvu Kwa sare ya bila kufungana . Mchezo huo ulikuwa mhimu sana Kwa timu ya Yanga ambapo walihitaji sn matokeo ili waweze kuongoza ligi kuu . Mchezo huo umemaliza Kwa sare ya 0-0 lakini Saimoni Msuva Wa Yanga alipoteza mkwaju Wa penati . Hivyo yanga wanabakia katika nafasi yao ya pili .

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .