NAPE AMKABIDHI OFISI MWAKYEMBE DODOMA.

   Aliyekuwa waziri wa sanaa, michezo, habari na utamaduni Mh.  Nape leo mjini dodoma amemkabidhi rasmi ofisi waziri mpya wa wizara hiyo Mh.  Mwakyembe ,  tukio hilo limefanyika mjini dodoma leo na akishuhudia utiaji wa saini hizo na makabidhiano hayo katibu mkuu wa wizarahiyo Prf.  Elsante Ole Gabriel.

Comments

Popular posts from this blog

MAFUNZO YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NA MCHE YANARNDELEA .

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

MASHAIRI YA WIMBO WA NAY WA MITEGO ULIOMPELEKA LUMANDE .