MAMA SALIMA KIKWETE ATEULIWA KUWA MBUNGE

       Mke Wa rais mstaafu , jakaya mrisho kikwete ameteuliwa leo kuwa mbunge Wa bunge la jamhuri ya muungano Wa Tanzania leo hii ikulu na Rais MAGUFULI .


A

Awali taarifa zilienea kuwa ameteuliwa kuwa mbunge Wa viti maalumu na baada ya muda marekebisho yalitolewa kuwa ni mbunge Wa bunge la jamhuri ya muungano Wa Tanzania na si mbunge Wa viti maalumu .

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .