UINGEREZA: WAZIRI MKUU AHUTUBIA TAIFA

  Waziri mkuu wa uingereza amelihutubi Taifa na kusema kuwa aliyefanya shambulizi nchini uingereza na kuua watu wanne alikuwa raia wa uingereza ambaye alizaliwa uingerezana aliyewahi kufanyiwa upelelezi kwa tuhuma za upelelezi kuwa anajihusisha na uhalifu wa itikadi kali .
     May amewataka wananchi wake waendelee na maisha yao ya kila siku bila hofu na kusisitiza kwamba magaidi hawataingia tena .

Comments

Popular posts from this blog

MAFUNZO YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NA MCHE YANARNDELEA .

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

MASHAIRI YA WIMBO WA NAY WA MITEGO ULIOMPELEKA LUMANDE .