RAIS MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI (TUCTA)






      Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk .  John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) ikulu jijini Dar es Salaam .

  Pamoja na mambo mengine viongozi wa TUCTA wamemhakikishia kuwa vyama vya wafanyakazi vitafanya kazi bega kwa bega na serikali katika kusimamia haki na uwajibikaji wa wafanyakazi . Mhe.  Magufuli amesema serikali inawapenda na ipo tayari kuboresha masilahi yao lakini amewataka wafanyakazi kutanguliza maslahi ya Taifa .

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .