WABUNGE WAGOMA KUMCHANGIA SUPER MODEL WA TANZANIA

   





         Super Model Asha Mabula anayekwenda kuiwasilisha Tanzania ,  alitambulishwa bungeni na kuibua mjadala mzito bungeni kuhusu kuchangiwa fedha kila mbuge TSH. 30000 .  Wengi wamegoma wakisema kuwa hawaoni kama suala la U-Model ni lakitaifa na kama ni suala la muhimu kuchangia badala ya kuchangia masuala ya kimaendeleo .

 Wengine wligoma wakidai kuwa dini zao haziwaruhusu kuchangia warembo .  Mbunge Ally Kessy amesema endapo bunge litamkata kiasi hicho cha pesa atachukua hatua ya kwenda mahakamani.

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .