WABUNGE WAGOMA KUMCHANGIA SUPER MODEL WA TANZANIA

   





         Super Model Asha Mabula anayekwenda kuiwasilisha Tanzania ,  alitambulishwa bungeni na kuibua mjadala mzito bungeni kuhusu kuchangiwa fedha kila mbuge TSH. 30000 .  Wengi wamegoma wakisema kuwa hawaoni kama suala la U-Model ni lakitaifa na kama ni suala la muhimu kuchangia badala ya kuchangia masuala ya kimaendeleo .

 Wengine wligoma wakidai kuwa dini zao haziwaruhusu kuchangia warembo .  Mbunge Ally Kessy amesema endapo bunge litamkata kiasi hicho cha pesa atachukua hatua ya kwenda mahakamani.

Comments

Popular posts from this blog

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

MAFUNZO YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NA MCHE YANARNDELEA .

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA