WEMA SEPETU & GABO WAJA UPYA .

 



      Wasanii wakali na wakubwa katika tasnia ya filamu inchini Wema Sepetu na Gabo wameelza kuachia move Kali na kusema kuwa itakuwa na mapinduzi makubwa sana katika industries ya bongo move ambayo kwa sasa wapo katika maandalizi na kuwaahidi mashabiki wao wakae mkao wa kula kwani ni bonge la move .

Comments

Popular posts from this blog

MAFUNZO YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NA MCHE YANARNDELEA .

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

MASHAIRI YA WIMBO WA NAY WA MITEGO ULIOMPELEKA LUMANDE .