WEMA SEPETU & GABO WAJA UPYA .

 



      Wasanii wakali na wakubwa katika tasnia ya filamu inchini Wema Sepetu na Gabo wameelza kuachia move Kali na kusema kuwa itakuwa na mapinduzi makubwa sana katika industries ya bongo move ambayo kwa sasa wapo katika maandalizi na kuwaahidi mashabiki wao wakae mkao wa kula kwani ni bonge la move .

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .