MWANAMKE NGURI WA DAWA ZA KULEVYA ANASWA .

 


    Wakati serikali ikipambana na kukomesha uuzwaji wa dawa za kulevya , watu wengine ambao ni waharibu wameendelea na usambazaji wa dawa za kulevya bila kuwa na hofu yoyote ila .

   Huko Unguja mwanamke mmoja ambaye inasemekana amekuwa kinara wa usambazaji wa dawa za kulevya amekamatwa na kutiwa nguvuni na vyombo vya dola .
Mwanamke huyo andaiwa kuwa na umri wa miaka 54 na amefahamika kwa jjna la Nuru Saleh Mzee mkaazi wa Kwaalinatu mkoa wa mjini magharibi Unguja .



  Amekamatwa na kete 108 za unga unaoaminika kuwa nidawa za kulevya alipokuwa katika harakati za kusambaza kwa vjana .

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .