RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI NA KUONGEZA WIZARA MBILI KUTOKA 9 HADI 12




    Leo rais wa Tanzania John P Magufuli amefanya mabadiliko ya Baraza la mawaziri na kuongeza wizara kutoka 9 hadi 11 .
   Lakini pia Rais Magufuli amegusa ungeni katka uteuz wake ambapo katibu wa bunge amebadilishwa Dk. Kashilila atapangiwa kazi nyingine .

  Uteuzi huo umefanyika kama ilivyo hapa chini :

1.  Utumishi - George Mkuchika.

2.  Kilimo - Dk. Charles Tzeba na Naibu
                     wake Seleman Jafo na naibu wake ni ni Dk. Mary Mwanjelwa.

3. Mifugo na uvuvi - Luhaga Mpina na                                naibu wazir-
                   I wake Abdalah Luhenga

4. Mambo ya nje - Augustino Mahiga na naibu waziri wake ni Dk.  Suzan Kolimba.

5. Ulinzi - Dk. Hussein Mwinyi.

6. Maji - Isack kamweli naibu ni Jumaa Aweso.

7. Viwanda na biashara -  Charles Mwijage na naibu wake Mhandisi Stella Manyanya .

8. Elimu -  Joyce Ndalichako na naibu ni   Willium Olenasha.

9. Afya - Ummy Mwalimu na naibu wake ni   Faustine Ndugulile .

10. Tamisemi - Seleman Jafo na naibu wake ni Josephat Kandege na Joseph Kakunda.

11. Mazingira - January Makamba na naibu wake ni  Kangi Lugola.

12. Vijana kazi sera na bunge -  Jenista mhagama na naibu Anthony Mavunde .

  Kwa upande wa katibu wa bunge amemteua Stephen Kagaigai. 


          Imeandaliwa na Misangle 


Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .