SIMBA WAMELETA MRITHI WA OMOG HUYU HAPA .




    Klabu ya Simba kwa taarifa za chini chini zinasema kuwa kocha wa Zamani wa TP MAZEMBE na timu ya Etoul Duh Sahel , Hubert Velud natarajiw akumrithi Joseph Kmog baada ya kusitishiwa ajira yake na viongozi wa klabu hiyo  . Kocha huyo wa Kifaransa tayari ameshakubaliana na viongozi wa klabu ya simba kimsingi baada ya kufanya mazungumzo na klabu hiyo ambayo inaongoza ligi kuu ya VPL Tanzania bara . 

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .