MAN CITY NA B'MUNICH VITA KALI JUU YA WALKER .

HABARI ZA MICHEZO : NANI KUMSAJILI WALKER KATI YA MAN CITY KUMBAKIZA AU BAYERN MUNICH .


Beki wa Manchester City, Kyle Walker yupo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kuendelea kuwatumikia mabingwa hao wa EPL, FA na Klabu Bingwa Ulaya licha ya kutakiwa na Bayern.

Bayern wanamuhitaji sana Walker lakini Man City wanamuhitaji zaidi beki huyo wa Uingereza.

#WasafiSports

By: Sam_Misangle
Whatsap  : +255629552663 

Comments

Popular posts from this blog

MAFUNZO YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NA MCHE YANARNDELEA .

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

MASHAIRI YA WIMBO WA NAY WA MITEGO ULIOMPELEKA LUMANDE .