SIMBA SC HAPA NDIPO KAMBI YA PRE SEASON ITAPOKUWA .



HABARI ZA MICHEZO

... 🚨 || RASMI, IMETHIBITISHWA:

☑️ Simba SC🇹🇿 kuweka kambi ya Pre-season nchini Uturuki 🇹🇷

Klabu ya Simba SC imetangaza kuwa itaweka kambi ya Wiki tatu Nchini Uturuki 🇹🇷 kwaajili ya kujiandaa na Msimu Mpya wa Mashindano wa 2023/24.

Wachezaji wote waliosajiliwa na Simba na wale wa zamani watakuwa sehemu ya Kambi hiyo huku wakitarajia kucheza Michezo mitatu dhidi ya timu za Uturuki 🇹🇷 kabla ya kurejea Nchini Mwishoni mwa mwezi huu.


#sam_misangletz 

Whatsap  : +255629552663 

Comments

Popular posts from this blog

BEBI MADAHA NA ISABELA WAHUSISHWA NA KUSAGANA

YANGA KUJA NA JEZI HIZI MSIMU 2017/2018.

YANGA BINGWA VPL 2016/2017 , TOTO , JKT RUVU NA AFRICAN LYON ZASHUKA DARAJ .